Friday, February 21, 2014

samsung-galaxy-s5-tobias-hornof

Smartphone ya Samsung Galaxy S5 inaweza kutoka mapema kuliko ilivyotegemewa.

Kutokana na mtandao wa kikorea wa Naver, ambao unaendeshwa na wafanyakazi wa zamani wa Samsung, kampuni ya Samsung imepanga kutoa Samsung Galaxy S5 mnamo January kama sehemu ya mpango wao wa kupunguza mauzo ya model yao ya sasa.

Ripoti inaonyesha kwamba Samsung Galaxy S5chini ya mwaka mmoja baada ya mtangulizi wake, Galaxy S4, ilivyotolewa mnamo mwezi Machi mwaka huu.

S5 inaweza kuzinduliwa  2014 kwenye International Consumer Electronics Show (CES) mwezi wa kwanza, taarifa hiyo imesema.

Navel wamesema S5 itakuwa na camera yenye 16-megapixel za camera na  processor ya Samsung Exynos.

JE Features zipi ungepeda kuziona kwenye Samsung Galaxy S5? Comment hapa chini!

No comments:

Post a Comment