Matokeo ya kidato cha nne mwaka 2013 yametangazwa na kiwango cha kufaulu cha ongezeka toka asilimia 45.8% mwaka 2012 mpaka 56.7% mwaka huu huku somo la kiswahili likiongoza kwa kufaulisha wanafunzi weng lakin somo la hisabati limeleta matokeo mabovu.....Best of luck 4 IV wenzang!!!!
No comments:
Post a Comment