Tuesday, February 18, 2014

Fanya Computer yako iwe kama simu ya Android!!!

Wengi huwa wanajiuliza natumiaje whatsapp, tango na app zngne wakati simu yangu ni ya toch(nokia 1202-2)...Jibu la swali lao ni hii program inayoitwa YOUWAVE....cha kufanya ni 1. Tembelea tovuti yao ya http://youwave.com/download then download na utatumia bila tatizo lolote

No comments:

Post a Comment